58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu.
3 Hata hivyo, kuna mambo mema+ ambayo yameonekana kwako, kwa sababu umeiondoa miti mitakatifu katika nchi+ nawe umetayarisha moyo wako kumtafuta Mungu wa kweli.”+