1 Wafalme 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Israeli wote kwa hakika watamwombolezea+ na kumzika, kwa sababu huyu peke yake wa Yeroboamu ndiye atakayezikwa kaburini; kwa maana jambo fulani jema kwa Yehova Mungu wa Israeli limeonekana ndani yake katika nyumba ya Yeroboamu.+ 2 Mambo ya Nyakati 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa kuwa alimtafuta Mungu wa baba yake,+ naye akatembea katika amri yake,+ wala si kulingana na matendo ya Israeli.+
13 Na Israeli wote kwa hakika watamwombolezea+ na kumzika, kwa sababu huyu peke yake wa Yeroboamu ndiye atakayezikwa kaburini; kwa maana jambo fulani jema kwa Yehova Mungu wa Israeli limeonekana ndani yake katika nyumba ya Yeroboamu.+
4 Kwa kuwa alimtafuta Mungu wa baba yake,+ naye akatembea katika amri yake,+ wala si kulingana na matendo ya Israeli.+