2 Mambo ya Nyakati 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa sababu alijinyenyekeza, hasira ya Yehova ikageuka,+ ikaondoka juu yake, naye hakufikiria kuwaharibu kabisa.+ Na zaidi ya hayo, kulikuwa na mambo mema katika Yuda.+ Ezekieli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “ ‘Na, tazama! mtu amemzaa mwana, ambaye anaendelea kuona dhambi zote za baba yake ambazo amefanya, naye anaona lakini hafanyi mambo kama hayo.+
12 Na kwa sababu alijinyenyekeza, hasira ya Yehova ikageuka,+ ikaondoka juu yake, naye hakufikiria kuwaharibu kabisa.+ Na zaidi ya hayo, kulikuwa na mambo mema katika Yuda.+
14 “ ‘Na, tazama! mtu amemzaa mwana, ambaye anaendelea kuona dhambi zote za baba yake ambazo amefanya, naye anaona lakini hafanyi mambo kama hayo.+