Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tuseme kuna watu waadilifu 50 katika jiji hilo. Je, wewe, utawafagilia mbali, usisamehe mahali hapo kwa ajili ya wale waadilifu 50 ambao wamo ndani yake?+

  • 1 Wafalme 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Israeli wote kwa hakika watamwombolezea+ na kumzika, kwa sababu huyu peke yake wa Yeroboamu ndiye atakayezikwa kaburini; kwa maana jambo fulani jema kwa Yehova Mungu wa Israeli limeonekana ndani yake katika nyumba ya Yeroboamu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, kuna mambo mema+ ambayo yameonekana kwako, kwa sababu umeiondoa miti mitakatifu katika nchi+ nawe umetayarisha moyo wako kumtafuta Mungu wa kweli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki