19 kila mtu ambaye ameutayarisha moyo+ wake ili kumtafuta Mungu wa kweli, Yehova Mungu wa mababu zake, ingawa hajatakaswa kwa ajili ya kilicho kitakatifu.”+
10 Kwa maana Ezra mwenyewe alikuwa ameutayarisha+ moyo wake kutafuta shauri katika sheria ya Yehova+ na kuifanya+ na kufundisha+ sharti+ na haki+ katika Israeli.