Kumbukumbu la Torati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+ Malaki 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+
10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+
7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+