3 Hata hivyo, kuna mambo mema+ ambayo yameonekana kwako, kwa sababu umeiondoa miti mitakatifu katika nchi+ nawe umetayarisha moyo wako kumtafuta Mungu wa kweli.”+
10 Kwa maana Ezra mwenyewe alikuwa ameutayarisha+ moyo wake kutafuta shauri katika sheria ya Yehova+ na kuifanya+ na kufundisha+ sharti+ na haki+ katika Israeli.