Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Zaburi 119:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uelekeze moyo wangu kwa vikumbusho vyako,+Wala si kwa faida.+ 2 Wathesalonike 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana na aendelee kuielekeza mioyo yenu kwa mafanikio katika kumpenda+ Mungu na katika uvumilivu+ kwa ajili ya Kristo.
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
5 Bwana na aendelee kuielekeza mioyo yenu kwa mafanikio katika kumpenda+ Mungu na katika uvumilivu+ kwa ajili ya Kristo.