Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova.

  • 1 Samweli 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ila tu mwogopeni+ Yehova, nanyi mkamtumikie katika kweli kwa moyo wenu wote;+ kwa maana angalieni jinsi amewafanyia mambo makuu.+

  • Zaburi 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tuma nuru yako na kweli yako.+

      Na hivyo vyenyewe viniongoze.+

      Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+

  • Isaya 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+

  • Malaki 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sheria ya kweli ilikuwa katika kinywa chake,+ wala ukosefu wa uadilifu haukupatikana midomoni mwake. Kwa amani na kwa unyoofu alitembea nami,+ na wale aliogeuza kutoka katika kosa walikuwa wengi.+

  • Yohana 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+

  • 2 Yohana 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto+ wako wanatembea katika kweli,+ kama vile tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki