9 Nao wakaanza kufundisha+ katika Yuda, nao walikuwa na kitabu cha sheria ya Yehova;+ nao wakaendelea kuzunguka katika majiji yote ya Yuda na kufundisha kati ya watu.
24 Na katika kesi wao wenyewe watasimama ili kuhukumu;+ wataihukumu pia kwa maamuzi yangu ya hukumu.+ Nazo sheria zangu na kanuni zangu kuhusiana na majira yangu yote ya sherehe+ watazishika, nazo sabato zangu watazitakasa.+