Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa kwa ajili ya sabato utarudisha nyuma mguu wako kuhusiana na kuyafanya mapendezi yako mwenyewe katika siku yangu takatifu,+ na kwa kweli uiite sabato kuwa ni furaha tele, siku takatifu ya Yehova, inayotukuzwa,+ nawe kwa kweli uitukuze badala ya kufanya njia zako mwenyewe, badala ya kutafuta kinachokupendeza na kusema neno;

  • Ezekieli 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Makuhani wake wenyewe wameitendea jeuri sheria yangu,+ nao wanaendelea kutia unajisi mahali pangu patakatifu.+ Hawatofautishi kati ya kitu kitakatifu na cha kawaida,+ nao hawajafanya chochote kijulikane kati ya kitu kisicho safi na kilicho safi,+ nao wameyaficha macho+ yao yasione sabato zangu, nami ninatiwa unajisi katikati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki