Isaya 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 38:3 ip-1 394 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 38:3 Unabii wa Isaya 1, uku. 394
3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.