20 Yehova na akujibu katika siku ya taabu.
Jina la Mungu wa Yakobo na likulinde.+
2 Na akuletee msaada kutoka mahali patakatifu+
Na kukutegemeza kutoka Sayuni.+
3 Na akumbuke matoleo yako yote ya zawadi;
Na aikubali kwa upendeleo dhabihu yako ya kuteketezwa. (Sela)