22 Nao Walawi+ nikawaambia kwamba wawe wakijitakasa+ kwa ukawaida na kuingia ndani, wakiyalinda malango+ ili kutakasa+ siku ya sabato. Ee Mungu wangu, likumbuke+ jambo hili pia kwa ajili yangu, nawe unihurumie kulingana na wingi wa fadhili zako zenye upendo.+