1 Mambo ya Nyakati 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hao na wana wao walikuwa juu ya malango ya nyumba ya Yehova, ile nyumba ya hema, kwa ajili ya utumishi wa ulinzi.+ 1 Mambo ya Nyakati 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi wakapiga kura+ kwa ajili ya mdogo sawasawa na kwa mkubwa kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao, kwa ajili ya malango mbalimbali.
23 Na hao na wana wao walikuwa juu ya malango ya nyumba ya Yehova, ile nyumba ya hema, kwa ajili ya utumishi wa ulinzi.+
13 Basi wakapiga kura+ kwa ajili ya mdogo sawasawa na kwa mkubwa kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao, kwa ajili ya malango mbalimbali.