32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+
45 Nao wakaanza kushughulikia wajibu wa Mungu wao na wajibu+ wa utakaso,+ pia waimbaji+ na watunza-malango,+ kulingana na amri ya Daudi na Sulemani mwana wake.