21 Nao wataosha mikono yao na miguu yao wasije wakafa,+ nalo litakuwa ni sharti kwao mpaka wakati usio na kipimo, kwake yeye na uzao wake katika vizazi vyao vyote.”+
6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+
2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova.