Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wataosha mikono yao na miguu yao wasije wakafa,+ nalo litakuwa ni sharti kwao mpaka wakati usio na kipimo, kwake yeye na uzao wake katika vizazi vyao vyote.”+

  • Mambo ya Walawi 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki