Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+ Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nanyi hamtalitia unajisi jina langu takatifu,+ nami nitatakaswa katikati ya wana wa Israeli.+ Mimi ni Yehova ninayewatakasa ninyi,+
21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+
32 Nanyi hamtalitia unajisi jina langu takatifu,+ nami nitatakaswa katikati ya wana wa Israeli.+ Mimi ni Yehova ninayewatakasa ninyi,+