Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+
32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+