Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya.

  • Isaya 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+

  • Luka 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo akawaambia: “Wakati wowote mnaposali,+ semeni, ‘Baba, jina lako na litakaswe.+ Ufalme wako na uje.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki