23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+
41 Kwa sababu ya harufu ya kutuliza nitafurahishwa nanyi,+ nitakapowatoa kati ya vikundi vya watu nami hakika niwakusanye pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa,+ nami nitatakaswa ndani yenu mbele ya macho ya mataifa.’+