Kutoka 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao makuhani pia ambao humkaribia Yehova kwa ukawaida wajitakase,+ ili Yehova asilipuke juu yao.”+ Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+
22 Nao makuhani pia ambao humkaribia Yehova kwa ukawaida wajitakase,+ ili Yehova asilipuke juu yao.”+
11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+