Mambo ya Walawi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo moto ukatoka mbele za Yehova na kuwateketeza,+ hivi kwamba wakafa mbele za Yehova.+ 1 Mambo ya Nyakati 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo hasira ya Yehova ikamwakia Uza, hivi kwamba akampiga kwa sababu alikuwa ameunyoosha mkono wake juu ya lile Sanduku,+ naye akafa hapo mbele za Mungu.+ Matendo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Aliposikia maneno hayo Anania akaanguka chini akakata pumzi.+ Na wote waliosikia juu ya hilo wakaogopa+ sana.
10 Ndipo hasira ya Yehova ikamwakia Uza, hivi kwamba akampiga kwa sababu alikuwa ameunyoosha mkono wake juu ya lile Sanduku,+ naye akafa hapo mbele za Mungu.+
5 Aliposikia maneno hayo Anania akaanguka chini akakata pumzi.+ Na wote waliosikia juu ya hilo wakaogopa+ sana.