Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nazo zitavaliwa na Haruni na wanawe wanapoingia kwenye hema la mkutano au wanapoenda karibu na madhabahu ili kuhudumu katika mahali patakatifu, ili wasifanye kosa na kufa hakika. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tena akatengeneza beseni kumi, akaweka tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ ili kuoshea humo.+ Wakawa wakioshea humo vitu vinavyohusiana na toleo la kuteketezwa.+ Lakini ile bahari ilikuwa kwa ajili ya makuhani kuogea humo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki