3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya.
28 Kisha nikawaambia: “Ninyi ni kitu kitakatifu+ kwa Yehova, na vyombo+ hivi ni kitu kitakatifu, na hii fedha na dhahabu ni toleo la hiari kwa Yehova Mungu wa mababu zenu.