Mambo ya Walawi 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye hatautia unajisi uzao wake kati ya watu wake,+ kwa sababu mimi ni Yehova ninayemtakasa.’”+ Mambo ya Walawi 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao. Yohana 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 je, mnaniambia mimi ambaye Baba alinitakasa na kunituma ulimwenguni, ‘Unakufuru,’ kwa sababu nilisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?+
9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.
36 je, mnaniambia mimi ambaye Baba alinitakasa na kunituma ulimwenguni, ‘Unakufuru,’ kwa sababu nilisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?+