2 Kwa maana wamekubali baadhi ya binti zao kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao;+ nao, ule uzao mtakatifu,+ wamechanganyika+ na vikundi vya watu wa nchi, na mkono wa wakuu na watawala-wasaidizi umekuwa wa kwanza+ kabisa katika ukosefu huu wa uaminifu.”