Mambo ya Walawi 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Zaburi 135:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, jina lako ni la mpaka wakati usio na kipimo.+Ee Yehova, ukumbusho wako ni wa mpaka kizazi baada ya kizazi.+
6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
13 Ee Yehova, jina lako ni la mpaka wakati usio na kipimo.+Ee Yehova, ukumbusho wako ni wa mpaka kizazi baada ya kizazi.+