Mambo ya Walawi 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kuhani atavifukiza+ kwenye madhabahu kama chakula,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+
11 Na kuhani atavifukiza+ kwenye madhabahu kama chakula,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+