Zaburi 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ukumbuke rehema zako,+ Ee Yehova, na fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana ni za tangu wakati usio na kipimo.+ Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+ Zaburi 130:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+
6 Ukumbuke rehema zako,+ Ee Yehova, na fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana ni za tangu wakati usio na kipimo.+
51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+
7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+