30 Nami nikawatakasa kutokana na uchafu wote wa kigeni, nami nikawapa makuhani na Walawi majukumu yao, kila mmoja katika utumishi wake,+ 31 nami nikapanga ili kuni+ ziletwe wakati unaofaa na pia mazao ya kwanza yaliyokomaa.
Unikumbuke na kunitendea wema, Ee Mungu wangu.+