Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Unikumbuke mimi,+ Ee Mungu wangu, kuhusu jambo hili, nawe usiyafutilie mbali matendo yangu ya upendo mshikamanifu ambayo nimetenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na utumishi wake.*+

  • Zaburi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi* wa mikono yangu mbele zake.+

  • Isaya 38:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.

  • Malaki 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huo wale wanaomwogopa Yehova walizungumza kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kuwakazia uangalifu na kusikiliza. Na kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wanaomwogopa Yehova na wale wanaolitafakari* jina lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki