-
2 Mambo ya Nyakati 20:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Nao wakaishi katika nchi hiyo na kukujengea humo mahali patakatifu kwa ajili ya jina lako,+ wakisema, 9 ‘Tukipatwa na msiba, upanga, hukumu kali, au ugonjwa hatari, au njaa, na tusimame mbele ya nyumba hii na mbele zako (kwa maana jina lako limo katika nyumba hii)+ na kukulilia utusaidie katika taabu yetu, nawe usikie na kutuokoa.’+
-