-
1 Wafalme 8:33, 34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 “Watu wako Waisraeli wakishindwa na maadui kwa sababu ya kuzidi kukutendea dhambi,+ nao warudi kwako na kulitukuza jina lako+ na kusali na kukusihi wapate kibali katika nyumba hii,+ 34 basi usikie kutoka mbinguni na kuwasamehe watu wako Waisraeli dhambi yao na kuwarudisha katika nchi uliyowapa mababu zao.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 6:28-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 “Njaa kali ikitokea nchini,+ au ugonjwa hatari,+ upepo unaochoma, kuvu,+ makundi ya nzige, au parare* wanaokula sana+ au maadui wao wakiwazingira katika jiji lolote nchini*+ au pigo au ugonjwa wa aina yoyote ukitokea,+ 29 sala yoyote,+ ombi lolote la kutaka kibali+ ambalo huenda likatolewa na mtu yeyote au na watu wako wote Waisraeli (kwa sababu kila mmoja anajua mateso yake mwenyewe na maumivu yake mwenyewe)+ wakinyoosha mikono yao kuelekea nyumba hii,+ 30 basi usikie kutoka mbinguni, makao yako,+ nawe usamehe;+ na umthawabishe kila mmoja kulingana na njia zake zote, kwa sababu unajua moyo wake (ni wewe peke yako unayejua vizuri moyo wa mwanadamu),+
-