Amosi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Niliwapiga kwa joto linalounguza na kuvu.+ Mlizidisha bustani zenu na mashamba yenu ya mizabibu,Lakini nzige walitafuna mitini yenu na mizeituni yenu;+Na bado hamkunirudia,’+ asema Yehova. Hagai 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 niliwapiga ninyi—kazi zote za mikono yenu—kwa upepo unaochoma na kuvu+ na mvua ya mawe, lakini hakuna hata mmoja wenu aliyenirudia,’ asema Yehova.
9 ‘Niliwapiga kwa joto linalounguza na kuvu.+ Mlizidisha bustani zenu na mashamba yenu ya mizabibu,Lakini nzige walitafuna mitini yenu na mizeituni yenu;+Na bado hamkunirudia,’+ asema Yehova.
17 niliwapiga ninyi—kazi zote za mikono yenu—kwa upepo unaochoma na kuvu+ na mvua ya mawe, lakini hakuna hata mmoja wenu aliyenirudia,’ asema Yehova.