2 Mambo ya Nyakati 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu, kwa maana hawakuwa waaminifu kwa Yehova. 2 Mambo ya Nyakati 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Baada ya mambo hayo na matendo hayo ya uaminifu,+ Mfalme Senakeribu wa Ashuru alikuja na kuvamia Yuda. Alizingira majiji yenye ngome, akikusudia kuvunja na kuingia ndani na kuyateka.+
2 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu, kwa maana hawakuwa waaminifu kwa Yehova.
32 Baada ya mambo hayo na matendo hayo ya uaminifu,+ Mfalme Senakeribu wa Ashuru alikuja na kuvamia Yuda. Alizingira majiji yenye ngome, akikusudia kuvunja na kuingia ndani na kuyateka.+