Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaolijua jina lako watakutumaini wewe;+Hutawaacha kamwe wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+