Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+

      Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+

      Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+

  • Yeremia 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Basi nitawafanya wajue,

      Wakati huu nitawafanya wajue nguvu zangu na uwezo wangu,

      Nao watalazimika kujua kwamba jina langu ni Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki