2 Mambo ya Nyakati 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Mungu wetu, je, hutatekeleza hukumu dhidi yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja kutushambulia; nasi hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakutazama wewe.”+ Zaburi 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yangu humtazama Yehova daima,+Kwa maana ataiweka huru miguu yangu kutoka katika wavu.+ 2 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alituokoa kutoka katika hatari kubwa ya kifo na atatuokoa, nasi tumeweka tumaini letu kwake kwamba ataendelea kutuokoa.+
12 Ee Mungu wetu, je, hutatekeleza hukumu dhidi yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja kutushambulia; nasi hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakutazama wewe.”+
10 Alituokoa kutoka katika hatari kubwa ya kifo na atatuokoa, nasi tumeweka tumaini letu kwake kwamba ataendelea kutuokoa.+