Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+

      Naye huwaokoa.+

  • Zaburi 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+

      Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+

  • 2 Timotheo 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Bwana atanikomboa kutoka katika kila tendo la uovu naye ataniokoa kwa ajili ya Ufalme wake wa mbinguni.+ Utukufu na uwe kwake milele na milele. Amina.

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki