22 Nao Walawi+ nikawaambia kwamba wawe wakijitakasa+ kwa ukawaida na kuingia ndani, wakiyalinda malango+ ili kutakasa+ siku ya sabato. Ee Mungu wangu, likumbuke+ jambo hili pia kwa ajili yangu, nawe unihurumie kulingana na wingi wa fadhili zako zenye upendo.+
58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.