2 Samweli 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitajiendesha bila kosa+ mbele zake,Nami nitajiepusha na kosa.+ Zaburi 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+ Mathayo 5:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Lazima ninyi basi muwe wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.+ 2 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe yeye awapate ninyi mkiwa bila doa+ na bila dosari na mkiwa katika amani.+
18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe yeye awapate ninyi mkiwa bila doa+ na bila dosari na mkiwa katika amani.+