58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.
11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
13 kusudi afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika+ katika utakatifu mbele za Mungu na Baba yetu wakati wa kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.+