4 ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+
6 Basi kama tumo katika dhiki, hiyo ni kwa ajili ya faraja na wokovu+ wenu; au kama tunafarijiwa, hiyo ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwafanya mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka.+