Waroma 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+ 1 Petro 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ni afadhali kuteseka kwa sababu mnatenda mema,+ ikiwa mapenzi ya Mungu yanataka hivyo, kuliko kuteseka kwa sababu mnatenda maovu.+ 1 Petro 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini akiteseka+ kwa sababu yeye ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu katika jina hili.
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
17 Kwa maana ni afadhali kuteseka kwa sababu mnatenda mema,+ ikiwa mapenzi ya Mungu yanataka hivyo, kuliko kuteseka kwa sababu mnatenda maovu.+
16 Lakini akiteseka+ kwa sababu yeye ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu katika jina hili.