Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa kupatana na tarajio langu lenye hamu+ na tumaini+ kwamba sitaona aibu+ kwa njia yoyote, bali kwamba katika uhuru wote wa kusema,+ Kristo, kama sikuzote hapo mwanzoni, atatukuzwa hivyo sasa kwa njia ya mwili wangu,+ iwe ni kupitia uzima au ni kupitia kifo.+

  • 2 Timotheo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hii ninavumilia+ pia mambo haya, lakini sioni aibu.+ Kwa maana namjua yule ambaye nimemwamini, nami nina hakika anaweza kukilinda+ kile ambacho nimeweka amana kwake mpaka siku ile.+

  • Waebrania 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki