10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami, kwa upande wangu, ninajazia kinachopungua cha dhiki+ za Kristo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kutaniko.+