7 Na kwa hiyo tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, tukijua kama tunavyojua kwamba, kama vile mlivyo washiriki wa hayo mateso, vivyo hivyo ninyi pia mtaishiriki faraja.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami, kwa upande wangu, ninajazia kinachopungua cha dhiki+ za Kristo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kutaniko.+