Zaburi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitajiendesha bila kosa mbele zake,+Nami nitajiepusha na kosa.+ Methali 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+
16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+