Mwanzo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hii ndiyo historia ya Noa. Noa alikuwa mtu mwadilifu.+ Alionekana kuwa mtu asiye na kosa kati ya watu wa siku zake. Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli.+ Mwanzo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+ Kumbukumbu la Torati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajionyesha kuwa huna kosa kwa Yehova Mungu wako.+ Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
9 Hii ndiyo historia ya Noa. Noa alikuwa mtu mwadilifu.+ Alionekana kuwa mtu asiye na kosa kati ya watu wa siku zake. Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli.+
17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+